Yoshua 21:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Anathothi+ na kiwanja chake cha malisho, na Almoni+ na kiwanja chake cha malisho; majiji manne. Yeremia 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Maneno ya Yeremia+ mwana wa Hilkia, mmoja wa makuhani waliokuwa katika Anathothi+ katika nchi ya Benyamini;+
1 Maneno ya Yeremia+ mwana wa Hilkia, mmoja wa makuhani waliokuwa katika Anathothi+ katika nchi ya Benyamini;+