Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 21:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Anathothi+ na kiwanja chake cha malisho, na Almoni+ na kiwanja chake cha malisho; majiji manne.

  • 1 Wafalme 2:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na mfalme akamwambia Abiathari+ kuhani: “Nenda Anathothi+ kwenye mashamba yako! Kwa maana unastahili kufa;+ lakini leo hii sitakuua, kwa sababu ulilichukua sanduku la Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova+ mbele ya Daudi baba yangu,+ na kwa sababu ulipata mateso wakati wote ambao baba yangu alipata mateso.”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 6:60
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 60 na kutoka katika kabila la Benyamini, Geba+ pamoja na viwanja vyake vya malisho na Alemethi+ pamoja na viwanja vyake vya malisho na Anathothi+ pamoja na viwanja vyake vya malisho. Majiji yao yote yalikuwa majiji kumi na matatu+ kati ya familia zao.

  • Yeremia 29:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 sasa, basi, kwa nini hukumkemea Yeremia wa Anathothi,+ ambaye anajiendesha kama nabii kwenu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki