1 Samweli 22:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hata hivyo, mwana mmoja wa Ahimeleki mwana wa Ahitubu, ambaye jina lake lilikuwa Abiathari,+ akaponyoka, akakimbia amfuate Daudi. 1 Wafalme 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye akashirikiana na Yoabu mwana wa Seruya na Abiathari+ kuhani, nao wakaanza kumsaidia wakiwa wafuasi wa Adoniya.+
20 Hata hivyo, mwana mmoja wa Ahimeleki mwana wa Ahitubu, ambaye jina lake lilikuwa Abiathari,+ akaponyoka, akakimbia amfuate Daudi.
7 Naye akashirikiana na Yoabu mwana wa Seruya na Abiathari+ kuhani, nao wakaanza kumsaidia wakiwa wafuasi wa Adoniya.+