Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 23:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Sasa ikawa kwamba Abiathari+ mwana wa Ahimeleki alipokimbia kwenda kwa Daudi kule Keila, alishuka na efodi+ mkononi mwake.

  • 2 Samweli 15:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na tazama, pia Sadoki+ alikuwapo na Walawi+ wote pamoja naye wakiwa wamelichukua+ sanduku+ la agano la Mungu wa kweli; nao wakaliweka chini sanduku la Mungu wa kweli kando ya Abiathari+ mpaka watu wote walipomaliza kuvuka kutoka jijini.

  • 1 Mambo ya Nyakati 15:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 naye akawaambia: “Ninyi ndio vichwa+ vya upande wa baba vya Walawi. Jitakaseni,+ ninyi na ndugu zenu, nanyi mlipandishe sanduku la Yehova, Mungu wa Israeli mpaka mahali ambapo nimelitayarishia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki