2 Samweli 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na Sadoki+ mwana wa Ahitubu na Ahimeleki+ mwana wa Abiathari walikuwa makuhani, na Seraya alikuwa mwandishi. 2 Samweli 20:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na Sheva+ alikuwa mwandishi,+ na Sadoki+ na Abiathari+ walikuwa makuhani. 1 Wafalme 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini Sadoki+ kuhani na Benaya+ mwana wa Yehoyada na Nathani+ nabii na Shimei+ na Rei na wale wanaume wenye nguvu+ wa Daudi, hawakushirikiana+ na Adoniya. 1 Wafalme 2:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Ndipo mfalme akamweka Benaya+ mwana wa Yehoyada mahali pake juu ya jeshi;+ na mfalme akamweka Sadoki kuwa kuhani mahali pa Abiathari.+ 1 Wafalme 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na hawa ndio waliokuwa wakuu+ wake: Azaria mwana wa Sadoki,+ kuhani; 1 Mambo ya Nyakati 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naye Ahitubu akamzaa Sadoki;+ naye Sadoki akamzaa Ahimaazi.+
17 Na Sadoki+ mwana wa Ahitubu na Ahimeleki+ mwana wa Abiathari walikuwa makuhani, na Seraya alikuwa mwandishi.
8 Lakini Sadoki+ kuhani na Benaya+ mwana wa Yehoyada na Nathani+ nabii na Shimei+ na Rei na wale wanaume wenye nguvu+ wa Daudi, hawakushirikiana+ na Adoniya.
35 Ndipo mfalme akamweka Benaya+ mwana wa Yehoyada mahali pake juu ya jeshi;+ na mfalme akamweka Sadoki kuwa kuhani mahali pa Abiathari.+