36 Tazama! Huko pamoja nao kuna wana wao wawili, Ahimaazi+ wa Sadoki na Yonathani+ wa Abiathari; nanyi mwatumie hao kuniletea kila jambo ambalo huenda mkalisikia.”
17 Kwa kuwa Yonathani+ na Ahimaazi+ walikuwa wamesimama katika En-rogeli,+ mjakazi fulani akaenda, akawaambia. Basi wakaondoka, kwa kuwa iliwapasa kumwambia Mfalme Daudi; kwa maana haikuwezekana waonekane wakiingia jijini.
19 Naye Ahimaazi+ mwana wa Sadoki akasema: “Tafadhali, acha nikimbie, nimpelekee mfalme habari hizi, kwa sababu Yehova amemhukumu ili amweke huru kutoka mkononi mwa adui zake.”+