Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Nami hakika nitajiinulia kuhani+ mwaminifu. Atafanya kupatana na yaliyo katika moyo wangu na yaliyo katika nafsi yangu; nami nitamjengea nyumba inayodumu, naye atatembea mbele ya mtiwa-mafuta+ wangu siku zote.

  • 1 Mambo ya Nyakati 6:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 Sadoki+ mwana wake, Ahimaazi+ mwana wake.

  • 1 Mambo ya Nyakati 12:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Pia Sadoki+ kijana, shujaa mwenye nguvu, na nyumba ya mababu zake, wakuu 22.

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 na Sadoki+ kuhani na ndugu zake makuhani mbele ya maskani ya Yehova katika mahali pa juu palipokuwa katika Gibeoni,+

  • 1 Mambo ya Nyakati 24:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na Daudi, na Sadoki+ kutoka kwa wana wa Eleazari, na Ahimeleki+ kutoka kwa wana wa Ithamari wakawafanya wawe migawanyo kwa ajili ya cheo chao katika utumishi wao.+

  • Zaburi 109:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Siku zake na ziwe chache;+

      Cheo chake cha uangalizi mtu mwingine na akichukue.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki