35 Nami hakika nitajiinulia kuhani+ mwaminifu. Atafanya kupatana na yaliyo katika moyo wangu na yaliyo katika nafsi yangu; nami nitamjengea nyumba inayodumu, naye atatembea mbele ya mtiwa-mafuta+ wangu siku zote.
3 Na Daudi, na Sadoki+ kutoka kwa wana wa Eleazari, na Ahimeleki+ kutoka kwa wana wa Ithamari wakawafanya wawe migawanyo kwa ajili ya cheo chao katika utumishi wao.+