1 Samweli 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wale wanaoshindana na Yehova wataingiwa na woga;+Atanguruma juu yao kutoka mbinguni.+Yehova mwenyewe ataihukumu miisho ya dunia,+Ili ampe mfalme wake nguvu,+Ili ainue pembe ya mtiwa-mafuta wake.”+ 1 Samweli 24:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi akawaambia watu wake: “Ni jambo lisilowaziwa kwangu, kwa maoni ya Yehova, kwamba nimfanyie bwana wangu jambo hili, mtiwa-mafuta+ wa Yehova, kwa kunyoosha mkono wangu juu yake, kwa kuwa yeye ni mtiwa-mafuta wa Yehova.”+ 2 Mambo ya Nyakati 6:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Ee Yehova Mungu, usiugeuze nyuma uso wa mtiwa-mafuta wako.+ Ee uzikumbuke fadhili zenye upendo kwa Daudi mtumishi wako.”+
10 Wale wanaoshindana na Yehova wataingiwa na woga;+Atanguruma juu yao kutoka mbinguni.+Yehova mwenyewe ataihukumu miisho ya dunia,+Ili ampe mfalme wake nguvu,+Ili ainue pembe ya mtiwa-mafuta wake.”+
6 Basi akawaambia watu wake: “Ni jambo lisilowaziwa kwangu, kwa maoni ya Yehova, kwamba nimfanyie bwana wangu jambo hili, mtiwa-mafuta+ wa Yehova, kwa kunyoosha mkono wangu juu yake, kwa kuwa yeye ni mtiwa-mafuta wa Yehova.”+
42 Ee Yehova Mungu, usiugeuze nyuma uso wa mtiwa-mafuta wako.+ Ee uzikumbuke fadhili zenye upendo kwa Daudi mtumishi wako.”+