1 Wafalme 1:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Na Sadoki kuhani na Nathani nabii wamtie mafuta+ huko awe mfalme juu ya Israeli; nanyi pigeni baragumu+ na kusema, ‘Mfalme Sulemani na aishi!’+ Zaburi 18:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Yeye anafanya matendo makuu ya wokovu kwa ajili ya mfalme wake+Na kuonyesha fadhili zenye upendo kwa mtiwa-mafuta wake,+Kwa Daudi na kwa uzao wake mpaka wakati usio na kipimo.+
34 Na Sadoki kuhani na Nathani nabii wamtie mafuta+ huko awe mfalme juu ya Israeli; nanyi pigeni baragumu+ na kusema, ‘Mfalme Sulemani na aishi!’+
50 Yeye anafanya matendo makuu ya wokovu kwa ajili ya mfalme wake+Na kuonyesha fadhili zenye upendo kwa mtiwa-mafuta wake,+Kwa Daudi na kwa uzao wake mpaka wakati usio na kipimo.+