1 Samweli 26:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni jambo lisilowaziwa+ kwangu, kwa maoni ya Yehova,+ kwamba ninyooshe mkono wangu+ juu ya mtiwa-mafuta wa Yehova!+ Kwa hiyo, tafadhali sasa, chukua mkuki ulio karibu na kichwa chake na lile gudulia la maji, nasi twende zetu.” 2 Samweli 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kisha Daudi akamwambia: “Kwa nini hukuogopa+ kunyoosha mkono wako umwangamize mtiwa-mafuta+ wa Yehova?”
11 Ni jambo lisilowaziwa+ kwangu, kwa maoni ya Yehova,+ kwamba ninyooshe mkono wangu+ juu ya mtiwa-mafuta wa Yehova!+ Kwa hiyo, tafadhali sasa, chukua mkuki ulio karibu na kichwa chake na lile gudulia la maji, nasi twende zetu.”
14 Kisha Daudi akamwambia: “Kwa nini hukuogopa+ kunyoosha mkono wako umwangamize mtiwa-mafuta+ wa Yehova?”