Matendo 13:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Na jambo hilo la kwamba yeye alimfufua kutoka kwa wafu akikusudiwa asirudi tena kwenye uharibifu, yeye amelisema katika njia hii, ‘Nitawapa ninyi fadhili zenye upendo kwa Daudi ambazo ni za uaminifu.’+
34 Na jambo hilo la kwamba yeye alimfufua kutoka kwa wafu akikusudiwa asirudi tena kwenye uharibifu, yeye amelisema katika njia hii, ‘Nitawapa ninyi fadhili zenye upendo kwa Daudi ambazo ni za uaminifu.’+