-
Matendo 13:34Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
34 Na jambo hilo la kwamba yeye alimfufua kutoka kwa wafu akikusudiwa asirudi tena kwenye uharibifu, yeye amelitaarifu katika njia hii, ‘Hakika mimi nitawapa nyinyi watu fadhili zenye upendo kwa Daudi zilizo za uaminifu.’
-