34 Na uhakika wa kwamba Yeye alimfufua kutoka kwa wafu ili asirudi tena kwenye uharibifu, Yeye ameutaja kwa njia hii: ‘Nitawaonyesha upendo mshikamanifu, ambao ni wa uaminifu,* alioahidiwa Daudi.’+
34 Na jambo hilo la kwamba yeye alimfufua kutoka kwa wafu akikusudiwa asirudi tena kwenye uharibifu, yeye amelisema katika njia hii, ‘Nitawapa ninyi fadhili zenye upendo kwa Daudi ambazo ni za uaminifu.’+