1 Wafalme 2:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Ndipo mfalme akamweka Benaya+ mwana wa Yehoyada mahali pake juu ya jeshi;+ na mfalme akamweka Sadoki kuwa kuhani mahali pa Abiathari.+ 1 Mambo ya Nyakati 29:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nao wakaendelea kula na kunywa mbele za Yehova siku hiyo kwa shangwe kubwa;+ nao kwa mara ya pili wakamfanya Sulemani mwana wa Daudi kuwa mfalme,+ wakamtia mafuta kwa Yehova awe kiongozi+ na pia Sadoki+ awe kuhani.
35 Ndipo mfalme akamweka Benaya+ mwana wa Yehoyada mahali pake juu ya jeshi;+ na mfalme akamweka Sadoki kuwa kuhani mahali pa Abiathari.+
22 Nao wakaendelea kula na kunywa mbele za Yehova siku hiyo kwa shangwe kubwa;+ nao kwa mara ya pili wakamfanya Sulemani mwana wa Daudi kuwa mfalme,+ wakamtia mafuta kwa Yehova awe kiongozi+ na pia Sadoki+ awe kuhani.