10 Na katika siku ya 23 ya mwezi wa 7 akawaruhusu watu waende zao nyumbani kwao, wakiwa na shangwe+ na kuchangamka moyoni kutokana na wema+ ambao Yehova alikuwa amemtendea Daudi na Sulemani na Israeli watu wake.+
12 Basi watu wote wakaenda zao kula na kunywa na kupeleka mafungu+ ya vitu na kushangilia sana,+ kwa maana walikuwa wameelewa maneno ambayo walijulishwa.+