1 Samweli 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na ikafika siku ambapo Elkana alitoa dhabihu, naye akawapa mafungu Penina mke wake na wanawe na binti zake wote;+ Luka 11:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Hata hivyo, vitoeni viwe kama zawadi za rehema+ vitu vilivyo ndani, na, tazama! vitu vingine vyote ni safi kuwahusu ninyi. Matendo 2:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Nao wakaendelea kujitoa wenyewe kwa fundisho la mitume na kushirikiana,+ katika kula milo+ na katika sala.+
4 Na ikafika siku ambapo Elkana alitoa dhabihu, naye akawapa mafungu Penina mke wake na wanawe na binti zake wote;+
41 Hata hivyo, vitoeni viwe kama zawadi za rehema+ vitu vilivyo ndani, na, tazama! vitu vingine vyote ni safi kuwahusu ninyi.
42 Nao wakaendelea kujitoa wenyewe kwa fundisho la mitume na kushirikiana,+ katika kula milo+ na katika sala.+