Mambo ya Walawi 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nayo nyama ya dhabihu ya shukrani ya dhabihu zake za ushirika italiwa siku yake ya kutoa toleo. Hataweka akiba yoyote ya nyama hiyo mpaka asubuhi.+ Kumbukumbu la Torati 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na hapo mtaleta matoleo yenu ya kuteketezwa na dhabihu+ zenu na sehemu zenu za kumi+ na mchango wa mkono wenu+ na matoleo yenu ya nadhiri+ na matoleo yenu ya hiari+ na wazaliwa wa kwanza wa mifugo yenu na wa kundi lenu.+
15 Nayo nyama ya dhabihu ya shukrani ya dhabihu zake za ushirika italiwa siku yake ya kutoa toleo. Hataweka akiba yoyote ya nyama hiyo mpaka asubuhi.+
6 Na hapo mtaleta matoleo yenu ya kuteketezwa na dhabihu+ zenu na sehemu zenu za kumi+ na mchango wa mkono wenu+ na matoleo yenu ya nadhiri+ na matoleo yenu ya hiari+ na wazaliwa wa kwanza wa mifugo yenu na wa kundi lenu.+