Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 2:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na mfalme akamwambia Abiathari+ kuhani: “Nenda Anathothi+ kwenye mashamba yako! Kwa maana unastahili kufa;+ lakini leo hii sitakuua, kwa sababu ulilichukua sanduku la Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova+ mbele ya Daudi baba yangu,+ na kwa sababu ulipata mateso wakati wote ambao baba yangu alipata mateso.”+

  • Isaya 10:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Paaza sauti yako kwa vilio vikali, Ee binti Galimu.+ Kaza uangalifu, Ee Laisha. Ee mwenye kuteseka, Anathothi!+

  • Yeremia 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Maneno ya Yeremia+ mwana wa Hilkia, mmoja wa makuhani waliokuwa katika Anathothi+ katika nchi ya Benyamini;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki