Yeremia 32:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 ‘Hanameli mwana wa Shalumu ndugu ya baba yako atakuja kwako na kukuambia: “Nunua shamba langu lililo Anathothi,+ kwa sababu una haki ya kwanza ya kulikomboa.”’”+
7 ‘Hanameli mwana wa Shalumu ndugu ya baba yako atakuja kwako na kukuambia: “Nunua shamba langu lililo Anathothi,+ kwa sababu una haki ya kwanza ya kulikomboa.”’”+