Mambo ya Walawi 25:23, 24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “‘Kwa hiyo ardhi haipaswi kuuzwa kwa muda wa kudumu,+ kwa sababu nchi ni yangu.+ Kwa maana ninyi ni wageni na wahamiaji machoni pangu.+ 24 Katika nchi yote mnayomiliki, mtakuwa na haki ya kukomboa* ardhi mliyouza.
23 “‘Kwa hiyo ardhi haipaswi kuuzwa kwa muda wa kudumu,+ kwa sababu nchi ni yangu.+ Kwa maana ninyi ni wageni na wahamiaji machoni pangu.+ 24 Katika nchi yote mnayomiliki, mtakuwa na haki ya kukomboa* ardhi mliyouza.