Ruthu 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mwishowe Naomi akawaambia: “Nendeni, rudini, kila mmoja nyumbani kwa mama yake. Yehova na awaonyeshe fadhili zenye upendo,+ kama vile tu mlivyowaonyesha wanaume hawa ambao sasa wamekufa na mimi pia.+
8 Mwishowe Naomi akawaambia: “Nendeni, rudini, kila mmoja nyumbani kwa mama yake. Yehova na awaonyeshe fadhili zenye upendo,+ kama vile tu mlivyowaonyesha wanaume hawa ambao sasa wamekufa na mimi pia.+