-
1 Wafalme 14:21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 Naye Rehoboamu+ mwana wa Sulemani, alikuwa mfalme katika Yuda. Rehoboamu alikuwa na umri wa miaka 41 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 17 katika Yerusalemu, jiji+ ambalo Yehova alichagua kutoka katika makabila+ yote ya Israeli ili kuweka humo jina lake.+ Na jina la mama yake lilikuwa Naama Mwamoni.+
-