24 Utanifanyia madhabahu ya udongo,+ nawe utatoa juu yake dhabihu za matoleo yako ya kuteketezwa na dhabihu zako za ushirika, kundi lako na mifugo yako.+ Katika kila mahali ambapo nitalifanya jina langu likumbukwe nitakuja kwako, nami hakika nitakubariki.+