-
Ayubu 1:5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Na ilikuwa kwamba wakati siku za karamu zimemaliza mzunguko, Ayubu alikuwa akituma na kuwatakasa;+ naye aliamka asubuhi na mapema na kutoa dhabihu za kuteketezwa+ kulingana na hesabu yao wote; kwa kuwa Ayubu alisema, “labda wanangu wametenda dhambi nao wamemlaani+ Mungu moyoni mwao.”+ Hivyo ndivyo Ayubu alivyofanya sikuzote.+
-