-
Ayubu 1:5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Baada ya vipindi vya siku za karamu kwisha, Ayubu alikuwa akiwaita ili awatakase. Naye alikuwa akiamka asubuhi na mapema na kutoa dhabihu za kuteketezwa+ kwa ajili ya kila mmoja wao. Kwa maana Ayubu alisema: “Labda wanangu wametenda dhambi na kumtukana Mungu moyoni mwao.” Hivyo ndivyo Ayubu alivyofanya sikuzote.+
-