1 Wafalme 11:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Kisha Sulemani akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa katika Jiji la Daudi+ baba yake; na Rehoboamu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake. 2 Mambo ya Nyakati 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na ikawa kwamba mara tu ufalme wa Rehoboamu ulipofanywa imara+ na mara tu alipokuwa na nguvu, akaiacha sheria ya Yehova,+ na pia Israeli+ wote pamoja naye.
43 Kisha Sulemani akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa katika Jiji la Daudi+ baba yake; na Rehoboamu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.
12 Na ikawa kwamba mara tu ufalme wa Rehoboamu ulipofanywa imara+ na mara tu alipokuwa na nguvu, akaiacha sheria ya Yehova,+ na pia Israeli+ wote pamoja naye.