Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 ‘Kuanzia ile siku niliyowatoa watu wangu Israeli kutoka Misri, sikuchagua+ jiji kutoka katika makabila yote ya Israeli ili kujenga nyumba+ ili jina langu+ likae humo; lakini nitamchagua Daudi awe juu ya watu wangu Israeli.’+

  • 1 Wafalme 11:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Nami nitampa mwana wake kabila moja, ili Daudi mtumishi wangu aendelee kuwa na taa sikuzote mbele zangu katika Yerusalemu,+ jiji ambalo nimejichagulia ili kuweka jina langu humo.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na Mfalme Rehoboamu akaendelea kuimarisha cheo chake katika Yerusalemu na kuendelea kutawala; kwa maana Rehoboamu+ alikuwa na umri wa miaka 41 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 17 katika Yerusalemu, jiji+ ambalo Yehova alichagua kutoka katika makabila yote ya Israeli ili kuweka jina lake humo.+ Na jina la mama yake lilikuwa Naama+ Mwamoni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki