-
2 Mambo ya Nyakati 12:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Mfalme Rehoboamu aliimarisha mamlaka yake jijini Yerusalemu na kuendelea kutawala; Rehoboamu alikuwa na umri wa miaka 41 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 17 huko Yerusalemu, jiji ambalo Yehova alichagua miongoni mwa makabila yote ya Israeli ili kuweka jina lake humo. Mama yake aliitwa Naama, naye alikuwa Mwamoni.+
-