3 “Mwamoni au Mmoabu yeyote asiingie katika kutaniko la Yehova.+ Hata kufikia kizazi cha kumi mtu yeyote wao asiingie katika kutaniko la Yehova mpaka wakati usio na kipimo,
26 Je, haikuwa kwa sababu yao kwamba Sulemani mfalme wa Israeli alitenda dhambi?+ Na hapakuwa na mfalme kama yeye katika hayo mataifa mengi;+ naye alipendwa na Mungu wake,+ hivi kwamba Mungu akamfanya kuwa mfalme juu ya Israeli wote. Lakini wake wa kigeni walimfanya hata yeye atende dhambi.+