Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 23:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Mwamoni au Mmoabu yeyote asiingie katika kutaniko la Yehova.+ Hata kufikia kizazi cha kumi mtu yeyote wao asiingie katika kutaniko la Yehova mpaka wakati usio na kipimo,

  • 1 Wafalme 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na Mfalme Sulemani akawapenda wake+ wengi wageni pamoja na binti ya Farao,+ wanawake Wamoabu,+ Waamoni,+ Waedomu,+ Wasidoni+ na Wahiti,+

  • Nehemia 13:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Je, haikuwa kwa sababu yao kwamba Sulemani mfalme wa Israeli alitenda dhambi?+ Na hapakuwa na mfalme kama yeye katika hayo mataifa mengi;+ naye alipendwa na Mungu wake,+ hivi kwamba Mungu akamfanya kuwa mfalme juu ya Israeli wote. Lakini wake wa kigeni walimfanya hata yeye atende dhambi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki