Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na Mfalme Sulemani akawapenda wake+ wengi wageni pamoja na binti ya Farao,+ wanawake Wamoabu,+ Waamoni,+ Waedomu,+ Wasidoni+ na Wahiti,+

  • 2 Mambo ya Nyakati 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na Mfalme Rehoboamu akaendelea kuimarisha cheo chake katika Yerusalemu na kuendelea kutawala; kwa maana Rehoboamu+ alikuwa na umri wa miaka 41 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 17 katika Yerusalemu, jiji+ ambalo Yehova alichagua kutoka katika makabila yote ya Israeli ili kuweka jina lake humo.+ Na jina la mama yake lilikuwa Naama+ Mwamoni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki