Yoshua 10:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Ndipo Horamu mfalme wa Gezeri+ akapanda kusaidia Lakishi. Basi Yoshua akampiga yeye na watu wake hata hakuacha mtu yeyote wake aokoke.+ Waamuzi 1:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Wala Efraimu hakuwafukuza Wakanaani waliokuwa wakikaa Gezeri, lakini Wakanaani waliendelea kukaa kati yao katika Gezeri.+
33 Ndipo Horamu mfalme wa Gezeri+ akapanda kusaidia Lakishi. Basi Yoshua akampiga yeye na watu wake hata hakuacha mtu yeyote wake aokoke.+
29 Wala Efraimu hakuwafukuza Wakanaani waliokuwa wakikaa Gezeri, lakini Wakanaani waliendelea kukaa kati yao katika Gezeri.+