Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 12:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 mfalme wa Egloni,+ mmoja; mfalme wa Gezeri,+ mmoja;

  • Yoshua 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nao hawakuwafukuza Wakanaani+ waliokuwa wakikaa katika Gezeri,+ na Wakanaani hao huendelea kukaa katikati ya Efraimu mpaka leo hii,+ nao wakawa watumishi wa kazi ya kulazimishwa.+

  • Yoshua 21:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi wakawapa jiji la makimbilio+ kwa ajili ya muuaji,+ yaani, jiji la Shekemu,+ na kiwanja chake cha malisho+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Gezeri+ na kiwanja chake cha malisho,

  • Waamuzi 1:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Wala Efraimu hakuwafukuza Wakanaani waliokuwa wakikaa Gezeri, lakini Wakanaani waliendelea kukaa kati yao katika Gezeri.+

  • 1 Wafalme 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 (Farao mfalme wa Misri alikuwa amekuja na kuliteka Gezeri na kuliteketeza kwa moto, naye akawaua Wakanaani+ waliokaa katika hilo jiji. Basi akampa binti yake,+ mke wa Sulemani, kama zawadi ya kuagana.)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki