10 Nao hawakuwafukuza Wakanaani+ waliokuwa wakikaa katika Gezeri,+ na Wakanaani hao huendelea kukaa katikati ya Efraimu mpaka leo hii,+ nao wakawa watumishi wa kazi ya kulazimishwa.+
21 Basi wakawapa jiji la makimbilio+ kwa ajili ya muuaji,+ yaani, jiji la Shekemu,+ na kiwanja chake cha malisho+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Gezeri+ na kiwanja chake cha malisho,
16 (Farao mfalme wa Misri alikuwa amekuja na kuliteka Gezeri na kuliteketeza kwa moto, naye akawaua Wakanaani+ waliokaa katika hilo jiji. Basi akampa binti yake,+ mke wa Sulemani, kama zawadi ya kuagana.)