Hesabu 35:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nanyi mtachagua majiji yatakayowafaa ninyi. Yatatumika kwenu yakiwa majiji ya makimbilio, naye muuaji atakayeipiga nafsi na kuiua bila kukusudia lazima akimbilie humo.+
11 Nanyi mtachagua majiji yatakayowafaa ninyi. Yatatumika kwenu yakiwa majiji ya makimbilio, naye muuaji atakayeipiga nafsi na kuiua bila kukusudia lazima akimbilie humo.+