Kutoka 21:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini ikiwa mtu hakuvizia naye Mungu wa kweli aruhusu jambo hilo litokee mkononi mwake,+ basi nitakuwekea mahali anapoweza kukimbilia.+ Kumbukumbu la Torati 4:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 ili akimbilie humo yule atakayemuua mwenzake bila kujua,+ ikiwa hakuwa akimchukia hapo kwanza;+ naye atakimbilia moja la majiji hayo naye ataishi,+ Kumbukumbu la Torati 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Sasa hii ndiyo hukumu ya muuaji atakayekimbilia humo na ambaye ataishi: Anapompiga na kumuua mwenzake bila kujua naye hakuwa akimchukia hapo kwanza;+
13 Lakini ikiwa mtu hakuvizia naye Mungu wa kweli aruhusu jambo hilo litokee mkononi mwake,+ basi nitakuwekea mahali anapoweza kukimbilia.+
42 ili akimbilie humo yule atakayemuua mwenzake bila kujua,+ ikiwa hakuwa akimchukia hapo kwanza;+ naye atakimbilia moja la majiji hayo naye ataishi,+
4 “Sasa hii ndiyo hukumu ya muuaji atakayekimbilia humo na ambaye ataishi: Anapompiga na kumuua mwenzake bila kujua naye hakuwa akimchukia hapo kwanza;+