Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 35:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nanyi mtachagua majiji yatakayowafaa ninyi. Yatatumika kwenu yakiwa majiji ya makimbilio, naye muuaji atakayeipiga nafsi na kuiua bila kukusudia lazima akimbilie humo.+

  • Kumbukumbu la Torati 4:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 ili akimbilie humo yule atakayemuua mwenzake bila kujua,+ ikiwa hakuwa akimchukia hapo kwanza;+ naye atakimbilia moja la majiji hayo naye ataishi,+

  • Kumbukumbu la Torati 19:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Utajitayarishia njia, nawe utagawa katika sehemu tatu lile eneo la nchi yako ambayo Yehova Mungu wako alikupa wewe iwe mali yako, nayo itakuwa kwa ajili ya muuaji yeyote, akimbilie humo.+

  • Yoshua 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi wakayapa hali ya utakatifu majiji ya Kedeshi+ katika Galilaya katika eneo lenye milima la Naftali, na Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, katika eneo lenye milima la Yuda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki