Hesabu 35:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nanyi mtachagua majiji yatakayowafaa ninyi. Yatatumika kwenu yakiwa majiji ya makimbilio, naye muuaji atakayeipiga nafsi na kuiua bila kukusudia lazima akimbilie humo.+ Hesabu 35:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “‘Lakini ikiwa alimsukuma bila uadui wowote au kumtupia chombo chochote pasipo kumvizia,+
11 Nanyi mtachagua majiji yatakayowafaa ninyi. Yatatumika kwenu yakiwa majiji ya makimbilio, naye muuaji atakayeipiga nafsi na kuiua bila kukusudia lazima akimbilie humo.+