Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 21:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini ikiwa mtu hakuvizia naye Mungu wa kweli aruhusu jambo hilo litokee mkononi mwake,+ basi nitakuwekea mahali anapoweza kukimbilia.+

  • Kumbukumbu la Torati 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 au anapoenda na mwenzake msituni kukusanya kuni, na mkono wake umeinuliwa ili kugonga kwa shoka ili kuukata mti, nacho chuma kiwe kimechomoka kutoka katika mpini wa mbao,+ na kiwe kimemgonga mwenzake naye akafa, yeye mwenyewe atakimbilia moja la majiji hayo naye ataishi.+

  • Yoshua 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 ili muuaji+ anayepiga nafsi na kuiua bila kukusudia, bila kujua, akimbilie humo; nayo yatakuwa kwenu makimbilio kutoka kwa mlipiza-kisasi cha damu.+

  • Yoshua 20:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na mlipiza-kisasi cha damu akimfuatilia, basi wao hawapaswi kumtia muuaji huyo mkononi mwake;+ kwa maana alimpiga akamuua mwenzake bila kujua, wala hakuwa akimchukia hapo zamani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki