Yoshua 20:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 ili mtu atakayemuua mwenzake* bila kukusudia au bila kujua akimbilie humo. Atakimbilia humo ili kumkwepa mtu anayetaka kulipiza kisasi cha damu.+ Yoshua Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 20:3 Mnara wa Mlinzi (Funzo),11/2017, uku. 11
3 ili mtu atakayemuua mwenzake* bila kukusudia au bila kujua akimbilie humo. Atakimbilia humo ili kumkwepa mtu anayetaka kulipiza kisasi cha damu.+