Mwanzo 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake mwenyewe itamwagwa+ na mwanadamu, kwa maana Mungu alimuumba mwanadamu+ kwa mfano Wake. Kutoka 21:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini kifo kikitokea, basi ni lazima mlipe uhai kwa uhai,*+ Hesabu 35:26, 27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “‘Lakini muuaji akitoka nje ya mpaka wa jiji la makimbilio alimokimbilia, 27 kisha mtu anayelipiza kisasi cha damu ampate nje ya mpaka wa jiji la makimbilio na kumuua, mtu huyo anayelipiza kisasi cha damu hatakuwa na hatia ya damu.
6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake mwenyewe itamwagwa+ na mwanadamu, kwa maana Mungu alimuumba mwanadamu+ kwa mfano Wake.
26 “‘Lakini muuaji akitoka nje ya mpaka wa jiji la makimbilio alimokimbilia, 27 kisha mtu anayelipiza kisasi cha damu ampate nje ya mpaka wa jiji la makimbilio na kumuua, mtu huyo anayelipiza kisasi cha damu hatakuwa na hatia ya damu.