Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake nayo itamwagwa na mwanadamu,+ kwa maana kwa mfano wa Mungu alimfanya mwanadamu.

  • Kutoka 21:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lakini kifo kikitokea, basi utatoa nafsi kwa nafsi,+

  • Hesabu 35:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 naye mlipiza-kisasi+ cha damu amkute nje ya mpaka wa lile jiji la makimbilio, na yule mlipiza-kisasi cha damu amuue yule muuaji asiyekusudia, yeye hana hatia ya damu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki