Hesabu 35:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Majiji hayo sita yatatumika yakiwa kimbilio kwa wana wa Israeli na kwa mkaaji mgeni+ na kwa mhamiaji aliye kati yao, ili mtu yeyote ambaye ataipiga nafsi na kuiua bila kukusudia akimbilie humo.+ Kumbukumbu la Torati 4:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 ili akimbilie humo yule atakayemuua mwenzake bila kujua,+ ikiwa hakuwa akimchukia hapo kwanza;+ naye atakimbilia moja la majiji hayo naye ataishi,+
15 Majiji hayo sita yatatumika yakiwa kimbilio kwa wana wa Israeli na kwa mkaaji mgeni+ na kwa mhamiaji aliye kati yao, ili mtu yeyote ambaye ataipiga nafsi na kuiua bila kukusudia akimbilie humo.+
42 ili akimbilie humo yule atakayemuua mwenzake bila kujua,+ ikiwa hakuwa akimchukia hapo kwanza;+ naye atakimbilia moja la majiji hayo naye ataishi,+