Yoshua 20:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 ili muuaji+ anayepiga nafsi na kuiua bila kukusudia, bila kujua, akimbilie humo; nayo yatakuwa kwenu makimbilio kutoka kwa mlipiza-kisasi cha damu.+
3 ili muuaji+ anayepiga nafsi na kuiua bila kukusudia, bila kujua, akimbilie humo; nayo yatakuwa kwenu makimbilio kutoka kwa mlipiza-kisasi cha damu.+