Hesabu 35:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Majiji hayo sita yatakuwa majiji ya makimbilio kwa ajili ya Waisraeli, kwa ajili ya wageni,+ na kwa ajili ya wahamiaji wanaoishi miongoni mwenu, ili mtu yeyote anayemuua mwenzake bila kukusudia akimbilie humo.+ Hesabu Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 35:15 Mnara wa Mlinzi,11/15/1995, kur. 10-14, 17
15 Majiji hayo sita yatakuwa majiji ya makimbilio kwa ajili ya Waisraeli, kwa ajili ya wageni,+ na kwa ajili ya wahamiaji wanaoishi miongoni mwenu, ili mtu yeyote anayemuua mwenzake bila kukusudia akimbilie humo.+