Kutoka 12:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Sheria ileile itafuatwa na mwenyeji na mgeni anayeishi miongoni mwenu.”+ Mambo ya Walawi 19:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mgeni anayeishi pamoja nanyi mtamwona kama mwenyeji;+ nanyi lazima mumpende kama mnavyojipenda wenyewe, kwa maana mlikuwa wageni nchini Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu. Hesabu 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ninyi na mgeni anayeishi miongoni mwenu mtafuata sheria zilezile na amri zilezile.’”*
34 Mgeni anayeishi pamoja nanyi mtamwona kama mwenyeji;+ nanyi lazima mumpende kama mnavyojipenda wenyewe, kwa maana mlikuwa wageni nchini Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.