1 Wafalme 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 (Farao mfalme wa Misri alikuwa amekuja na kuliteka jiji la Gezeri na kuliteketeza kwa moto, na alikuwa pia amewaua Wakanaani+ walioishi katika jiji hilo. Basi akampa binti yake,+ mke wa Sulemani, jiji hilo kama zawadi ya kumuaga.*)
16 (Farao mfalme wa Misri alikuwa amekuja na kuliteka jiji la Gezeri na kuliteketeza kwa moto, na alikuwa pia amewaua Wakanaani+ walioishi katika jiji hilo. Basi akampa binti yake,+ mke wa Sulemani, jiji hilo kama zawadi ya kumuaga.*)