Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nao hawakuwafukuza Wakanaani+ waliokuwa wakikaa katika Gezeri,+ na Wakanaani hao huendelea kukaa katikati ya Efraimu mpaka leo hii,+ nao wakawa watumishi wa kazi ya kulazimishwa.+

  • Waamuzi 1:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Wala Efraimu hakuwafukuza Wakanaani waliokuwa wakikaa Gezeri, lakini Wakanaani waliendelea kukaa kati yao katika Gezeri.+

  • 1 Wafalme 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Sasa hii ndiyo hesabu ya wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa+ ambao Mfalme Sulemani aliandikisha ili kujenga nyumba ya Yehova+ na nyumba yake mwenyewe na Kilima+ na ukuta+ wa Yerusalemu na Hasori+ na Megido+ na Gezeri.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 6:67
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 67 Basi wakawapa majiji ya makimbilio, Shekemu+ pamoja na viwanja vyake vya malisho katika eneo lenye milima la Efraimu, na Gezeri+ pamoja na viwanja vyake vya malisho,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki