10 Nao hawakuwafukuza Wakanaani+ waliokuwa wakikaa katika Gezeri,+ na Wakanaani hao huendelea kukaa katikati ya Efraimu mpaka leo hii,+ nao wakawa watumishi wa kazi ya kulazimishwa.+
15 Sasa hii ndiyo hesabu ya wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa+ ambao Mfalme Sulemani aliandikisha ili kujenga nyumba ya Yehova+ na nyumba yake mwenyewe na Kilima+ na ukuta+ wa Yerusalemu na Hasori+ na Megido+ na Gezeri.+
67 Basi wakawapa majiji ya makimbilio, Shekemu+ pamoja na viwanja vyake vya malisho katika eneo lenye milima la Efraimu, na Gezeri+ pamoja na viwanja vyake vya malisho,