Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye Yehoashi mfalme wa Israeli akamkamata Amazia mfalme wa Yuda mwana wa Yehoashi mwana wa Ahazia kule Beth-shemeshi, kisha wakaja Yerusalemu, naye akabomoa shimo katika ukuta wa Yerusalemu katika Lango la Efraimu+ mpaka kwenye Lango la Pembeni,+ urefu wa mikono mia nne.

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Naye akaiteketeza nyumba ya Mungu wa kweli+ na kuubomoa ukuta+ wa Yerusalemu; na minara yake yote ya makao wakaiteketeza kwa moto na pia vyombo vyake vyote vyenye kutamanika,+ ili kufanya uharibifu.+

  • Zaburi 51:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa nia yako njema utendee Sayuni vema;+

      Na ujenge kuta za Yerusalemu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki