Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 25:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Naye Yehoashi mfalme wa Israeli akamkamata+ Amazia mfalme wa Yuda, mwana wa Yehoashi mwana wa Yehoahazi, kule Beth-shemeshi, kisha akamleta Yerusalemu,+ naye akabomoa shimo katika ukuta wa Yerusalemu, kuanzia Lango la Efraimu+ mpaka kwenye Lango la Pembeni,+ urefu wa mikono mia nne.

  • Nehemia 8:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Basi watu wakaenda na kuleta majani hayo na kujijengea vibanda, kila mmoja juu ya paa+ yake mwenyewe na katika nyua zao na katika nyua+ za nyumba ya Mungu wa kweli na katika kiwanja cha watu wote+ cha Lango la Maji+ na katika kiwanja cha watu wote cha Lango la Efraimu.+

  • Nehemia 12:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 na juu ya Lango la Efraimu+ na kwenda mpaka kwenye Lango la Jiji la Kale+ mpaka kwenye Lango la Samaki+ na Mnara wa Hananeli+ na Mnara wa Mea+ na kwenda mpaka kwenye Lango la Kondoo;+ nao wakaja kusimama kwenye Lango la Mlinzi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki