Nehemia 8:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na watu wote wakajikusanya kama mtu mmoja+ katika kiwanja cha watu wote+ kilichokuwa mbele ya Lango la Maji.+ Ndipo wakamwambia Ezra+ mwandikaji akilete kitabu+ cha sheria ya Musa,+ ambayo Yehova alikuwa ameamuru Israeli.+
8 Na watu wote wakajikusanya kama mtu mmoja+ katika kiwanja cha watu wote+ kilichokuwa mbele ya Lango la Maji.+ Ndipo wakamwambia Ezra+ mwandikaji akilete kitabu+ cha sheria ya Musa,+ ambayo Yehova alikuwa ameamuru Israeli.+