Nehemia 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha watu wote wakakusanyika wakiwa na kusudi moja katika uwanja wa jiji uliokuwa mbele ya Lango la Maji,+ wakamwambia Ezra+ mwandishi* alete kitabu cha Sheria ya Musa,+ ambayo Yehova alikuwa ameamuru Waisraeli waifuate.+ Nehemia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 8:1 Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,2/2016, uku. 3
8 Kisha watu wote wakakusanyika wakiwa na kusudi moja katika uwanja wa jiji uliokuwa mbele ya Lango la Maji,+ wakamwambia Ezra+ mwandishi* alete kitabu cha Sheria ya Musa,+ ambayo Yehova alikuwa ameamuru Waisraeli waifuate.+